Huduma Fasta Mtandaoni

Karibu ALLISOFT

Pata huduma zote kwa haraka na urahisi mtandaoni. Tunakusogezea huduma za BRELA, TRA, NIDA, Wizara ya Mambo ya Ndani na nyingine nyingi bila usumbufu. Malipo yanakubaliwa kwa simu (M-Pesa, Mixx by Yas (Tigo), Airtel Money, Halotel Pesa).

M-Pesa
Mixx by Yas (Tigo)
Airtel Money
Halotel Pesa
Hakuna huduma inayolingana na utafutaji wako. Jaribu maneno tofauti.

AJIRA

Fungua ajira portal

Fungua ajira portal

Fungua ajira portal kwa ajili ya maombi ya kazi

  • Kufungua account
TSh 5,000.00
hapo hapo
Kutengeneza Wasifu (CV)

Kutengeneza Wasifu (CV)

Tunakusaidia kutengeneza CV ya kisasa, yenye muonekano wa kitaalamu na inayokidhi mahitaji ya ajira za sasa. Tunapanga taarifa zako kwa ubora ili kuongeza nafasi ya kuitwa kwenye interview, pamoja na ushauri wa kuboresha profile yako ya kazi. Huduma hii inafanyika kwa haraka, usahihi na kwa muonekano unaovutia wa kimataifa.

  • Wasifu mpya
  • Marekebisho
TSh 2,000.00
hapo hapo
Maombi ya kazi

Maombi ya kazi

Kutuma maombi ya kazi

  • kutuma maombi
TSh 5,000.00
hapo hapo

BRELA

Maombi ya Jina la Biashara

Maombi ya Jina la Biashara

Huduma ya kusajili jina la kampuni yako mpya au kubadilisha jina. Jina lako la biashara linakuwa lako kisheria.

  • Jina la kipekee
  • Uthibitisho wa BRELA
  • Hati miliki ya jina
TSh 40,000.00
Siku 1-3
Haraka
Maombi ya Usajili wa Kampuni

Maombi ya Usajili wa Kampuni

Usajili kamili wa kampuni mpya (hati ya kuanzisha kampuni). Inakupa nafasi ya kufanya biashara kihalali nchini Tanzania.

  • Cheti cha usajili
  • Extract
  • Namba ya usajili
TSh 150,000.00
Siku 3-5
Haraka

ELIMU

Maombi ya chuo

Maombi ya chuo

Maombi ya chuo

  • Certificate
  • Diploma
  • Degree
  • Masters
  • School of Law
  • VETA
TSh 5,000.00
hapo hapo
Maombi ya mikopo ya Elimu ya juu (Heslb)

Maombi ya mikopo ya Elimu ya juu (Heslb)

Maombi ya mikopo ya Elimu ya juu (Heslb)

  • Waombaji wapya
  • Wanaondelea
  • Wanaikata Rufaa (Appeal)
TSh 10,000.00
hapo hapo
Haraka

LOSS REPORT

Maombi ya Loss Report

Maombi ya Loss Report

Kama umepoteza nyaraka yoyote au kitambulisho chochote

  • Loss Report
TSh 5,000.00
hapo hapo

NIDA

Usajili wa Kitambulisho cha Taifa

Usajili wa Kitambulisho cha Taifa

Maombi ya usajili wa mara ya kwanza kupata kwa ajili ya kupata kitambulisho cha Taifa (NIDA).

  • Fomu ya NIDA yenye taarifa zako
  • Mwongozo wa picha na alama za vidole
  • Ufuatiliaji wa maombi
TSh 5,000.00
hapo hapo

TRA

Maombi ya TIN Number

Maombi ya TIN Number

Maombi ya Namba ya Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN) kwa ajili ya shughuli za kodi. Inahitajika kwa ajili ya biashara, kupata leseni na ajira.

  • TIN binafsi au ya kampuni
TSh 2,000.00
hapo hapo

Kwanini Ututumie?

Haraka na Rahisi

Huduma zetu zinapatikana kwa kubofya kitufe tu. Hakuna foleni wala usumbufu.

Salama Kabisa

Taarifa zako zinalindwa kwa viwango vya juu vya usalama wa kidijitali.

Malipo ya Simu

Lipia kwa urahisi kwa M-Pesa, Mixx by Yas (Tigo), Airtel Money na Halotel Pesa.

Msaada wa 24/7

Timu yetu iko tayari kukusaidia wakati wote, usiku na mchana.